GE2025 Paresso: Samia ana sifa za kutosha kuongoza nchi

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025

Its Tesha

Senior Member
Joined
Oct 6, 2025
Posts
168
Reaction score
604
Aliyekuwa Mbunge wa Viti Maalum Mkoa wa Arusha Cecilia Paresso amewaomba wananchi wa jimbo la Kakonko kumchagua Mgombea Urais wa CCM, Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kile alichoeleza kuwa mgombea huyo ana sifa zote za kuiongoza nchi.

Paresso ameyasema hayo Oktoba 12 alipokuwa akizungumza na wananchi wa jimbo la Kakonko, mkoani Kigoma.

"Dkt Samia Suluhu Hassan ana uwezo na sifa za kutosha na kutuongoza kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania" amesema Paresso
Your browser is not able to display this video.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…