Walikuwa na Hofu ya Nini...??. Hakuna kitu kinanipa Amani Moyoni kama Mm nikiwa Dukani Halafu Kila Kitu nimelipia Sina Deni na Mtu wala utawala Wowote..
Maana Kila Vielelezo vipo na Wakija Wala Huna Wasiwasi.. Ukiwa na Hofu Ujue Kuna MADUDU umefanya.