๐ต๐ค๐ผ๐ถ๐ต๐ค๐ผ๐ถ๐ผ๐ถ๐ผ
๐ค for Roma na
๐ for Stamina
๐คKaribu mzee kingunge kwenye makazi ya milele Mimi huku ninamji wangu tayari unaitwa nyerere ,nimeshtuka kukuona huku nini chanzo cha msiba..h,
๐ nimipango ya mungu na nimekumisi swaibah
๐คvipi nchi yangu Mtawala ni chama ganiโโโ
๐Bado ni C C M,Ingawa kuna Upinzani...
๐คunamaana gani!? Kwaiyoo Raisi ni NANi!?
๐Raisi ni JOHN ndo anaongoza usukani..
๐ค John Malechelaaah
๐Nooh Magufuli,ulimuacha ni mbunge wa Chato,Sijui unamkumbuka vizuri..
๐ค Hahaa..ngoja kwanza unajua haya mambo haya minilizani alipotoka Mkapa angefata Jakaya!.
๐ Jakaya alitawala akaja akaritaya(retire) nimeacha mengi yaani mambo ni moto mambo ni fayah
๐ค Aaha mbona nasikia mambo haiko sawa na kina nani hawa ambao wanajiita UKAWA
๐ ni wapinzani waliungana lakini hawakumshinda MAGU wengine chama walihama na bado wakapata TABU <Sanaaa,>
Kakomesha ufisadi.<Kodi> Kaongeza ukusanyaji Hakika wamepata mkombozi atayewafikisha nchi ya ahadi
๐คNilisikia siku hizi bunge halionyeshwi kwenye inamaana hoja za viongozi wanachi haziwafikii na mitandao ya kijamii je vipi haiwasaidii!?
๐Kuna Dada anaitwa Mange pliizi..(laxima...)
๐ถ๐ถ๐ผ๐ผ๐ถ๐ผ๐ถ๐ผ๐ถ๐ผ๐ถ
๐คje! Vipi kabuli langu tayari walilijengea na vipi kuhusu mke wangu maria wanamtembeleah!?
๐Kuhusu kumtembelea hilo toa shaka wanamjali na kumlea tena kwa heshima na mamlakah..
๐คNa nimemwona shemeji yangu h amakweli mnapendana mmefatana penzi la kweli kufa na kuzikana vipi mwanangu makongolo Mali zangu anazichungah!.
๐ an'ghaa Bora wakwako mwenzie bize na TUNDAH.. Mm.mh..hivi Julius ulikua simba au yanga!!
๐คkiukweli niliipenda Yanga ila simba ni kisangah.
๐enhehee..mwalimu unajua hadi kisanga!?
๐คhata hilo nasikia mengi kibamia hadi kudangah..nimemwona komba huku nyimbo za chama anatunga nani!?
๐Mi nasikia wanaisoma namba Ila sijui ameitunga nani!?
๐คSijakuelewa kwani anaesimamia sanaa ni nani!?
๐mmh..lipo baraza ila wasanii wanaishi uani..
๐ผ๐ถ๐ต๐ถ๐ค๐ผ๐ต๐ถ๐ผ๐ต
๐คKuhusu mungano bado upo ama umechujah!?
๐ mpemba anauza kariakoo na mzalamo anaduka ungujah!
๐คUjinga Maradhi na Umasikini bado maadui nipe taarifah.
๐ujinga angarau ao wengine janga la taifa..
๐คna kuhusu barabara..!
๐zipo
๐คmadaraja
๐yapo
๐ค Kama ndivyo inamaana uchumi unapanda enhee..
๐mmmh..wanadai cherehani mbili ukiwanazo unakiwanda vyuma viko still na kuna hospitali hazina vitandah
๐คBado nina maswali mengi vipi mwenendo wa katiba.!
๐mchakato ulisitishwa inasemekana walimpigah.!
๐คwalimpiga nani na kina nani na nini alifanyah..!?
๐Mwalimu sijui ila ni watu WASIOJULIKANA..
๐คwaliompiga risasi lissu
๐ni watu WASIOJULIKANA..
๐คkina nani walimteka Roma?
๐ni watu WASIOJULIKANA..
๐คna wanaoteka waandishi wa habari?
๐eenhe sijui ni watu WASIOJULIKANA..
๐ผ๐ถ๐ค๐ถ๐ผ๐ต๐ถ๐ผ๐ถ๐ต๐ผ