Parapanda lylics

kapesly

Senior Member
Joined
Jan 1, 2017
Posts
163
Reaction score
108
๐ŸŽต๐ŸŽค๐ŸŽผ๐ŸŽถ๐ŸŽต๐ŸŽค๐ŸŽผ๐ŸŽถ๐ŸŽผ๐ŸŽถ๐ŸŽผ
๐Ÿ‘ค for Roma na
๐Ÿ™Š for Stamina
๐Ÿ‘คKaribu mzee kingunge kwenye makazi ya milele Mimi huku ninamji wangu tayari unaitwa nyerere ,nimeshtuka kukuona huku nini chanzo cha msiba..h,
๐Ÿ™Š nimipango ya mungu na nimekumisi swaibah
๐Ÿ‘คvipi nchi yangu Mtawala ni chama ganiโ•โ—โ“
๐Ÿ™ŠBado ni C C M,Ingawa kuna Upinzani...
๐Ÿ‘คunamaana gani!? Kwaiyoo Raisi ni NANi!?
๐Ÿ™ŠRaisi ni JOHN ndo anaongoza usukani..
๐Ÿ‘ค John Malechelaaah
๐Ÿ™ŠNooh Magufuli,ulimuacha ni mbunge wa Chato,Sijui unamkumbuka vizuri..
๐Ÿ‘ค Hahaa..ngoja kwanza unajua haya mambo haya minilizani alipotoka Mkapa angefata Jakaya!.
๐Ÿ™Š Jakaya alitawala akaja akaritaya(retire) nimeacha mengi yaani mambo ni moto mambo ni fayah
๐Ÿ‘ค Aaha mbona nasikia mambo haiko sawa na kina nani hawa ambao wanajiita UKAWA
๐Ÿ™Š ni wapinzani waliungana lakini hawakumshinda MAGU wengine chama walihama na bado wakapata TABU <Sanaaa,>
Kakomesha ufisadi.<Kodi> Kaongeza ukusanyaji Hakika wamepata mkombozi atayewafikisha nchi ya ahadi
๐Ÿ‘คNilisikia siku hizi bunge halionyeshwi kwenye inamaana hoja za viongozi wanachi haziwafikii na mitandao ya kijamii je vipi haiwasaidii!?
๐Ÿ™ŠKuna Dada anaitwa Mange pliizi..(laxima...)
๐ŸŽถ๐ŸŽถ๐ŸŽผ๐ŸŽผ๐ŸŽถ๐ŸŽผ๐ŸŽถ๐ŸŽผ๐ŸŽถ๐ŸŽผ๐ŸŽถ
๐Ÿ‘คje! Vipi kabuli langu tayari walilijengea na vipi kuhusu mke wangu maria wanamtembeleah!?
๐Ÿ™ŠKuhusu kumtembelea hilo toa shaka wanamjali na kumlea tena kwa heshima na mamlakah..
๐Ÿ‘คNa nimemwona shemeji yangu h amakweli mnapendana mmefatana penzi la kweli kufa na kuzikana vipi mwanangu makongolo Mali zangu anazichungah!.
๐Ÿ™Š an'ghaa Bora wakwako mwenzie bize na TUNDAH.. Mm.mh..hivi Julius ulikua simba au yanga!!
๐Ÿ‘คkiukweli niliipenda Yanga ila simba ni kisangah.
๐Ÿ™Šenhehee..mwalimu unajua hadi kisanga!?
๐Ÿ‘คhata hilo nasikia mengi kibamia hadi kudangah..nimemwona komba huku nyimbo za chama anatunga nani!?
๐Ÿ™ŠMi nasikia wanaisoma namba Ila sijui ameitunga nani!?
๐Ÿ‘คSijakuelewa kwani anaesimamia sanaa ni nani!?
๐Ÿ™Šmmh..lipo baraza ila wasanii wanaishi uani..

๐ŸŽผ๐ŸŽถ๐ŸŽต๐ŸŽถ๐ŸŽค๐ŸŽผ๐ŸŽต๐ŸŽถ๐ŸŽผ๐ŸŽต
๐Ÿ‘คKuhusu mungano bado upo ama umechujah!?
๐Ÿ™Š mpemba anauza kariakoo na mzalamo anaduka ungujah!
๐Ÿ‘คUjinga Maradhi na Umasikini bado maadui nipe taarifah.
๐Ÿ™Šujinga angarau ao wengine janga la taifa..
๐Ÿ‘คna kuhusu barabara..!
๐Ÿ™Šzipo
๐Ÿ‘คmadaraja
๐Ÿ™Šyapo
๐Ÿ‘ค Kama ndivyo inamaana uchumi unapanda enhee..
๐Ÿ™Šmmmh..wanadai cherehani mbili ukiwanazo unakiwanda vyuma viko still na kuna hospitali hazina vitandah
๐Ÿ‘คBado nina maswali mengi vipi mwenendo wa katiba.!
๐Ÿ™Šmchakato ulisitishwa inasemekana walimpigah.!
๐Ÿ‘คwalimpiga nani na kina nani na nini alifanyah..!?
๐Ÿ™ŠMwalimu sijui ila ni watu WASIOJULIKANA..
๐Ÿ‘คwaliompiga risasi lissu
๐Ÿ™Šni watu WASIOJULIKANA..
๐Ÿ‘คkina nani walimteka Roma?
๐Ÿ™Šni watu WASIOJULIKANA..
๐Ÿ‘คna wanaoteka waandishi wa habari?
๐Ÿ™Šeenhe sijui ni watu WASIOJULIKANA..

๐ŸŽผ๐ŸŽถ๐ŸŽค๐ŸŽถ๐ŸŽผ๐ŸŽต๐ŸŽถ๐ŸŽผ๐ŸŽถ๐ŸŽต๐ŸŽผ
 
Duh mie mshamba kusoma heading tu nikaanza kuimba parapanda italia parapanda ooh malaika watakua wamekwisha kumjia kweeenda kumlaki
Hahahaha Numbisa nmecheka khaaa
Ila upo kama mm nlivyosikia Parapanda nami nikaanza kuimba kama ww
 
Bonge LA ngoma aisee.....haitafungiwa ile I bet
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]kumbe tupo wengi
Hahahaha Numbisa nmecheka khaaa
Ila upo kama mm nlivyosikia Parapanda nami nikaanza kuimba kama ww
 
Niliposoma heading nikajua muhimbili mambo yakuwa sio mambo.
Dah!!
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ