NALIA NGWENA
JF-Expert Member
- Oct 6, 2016
- 10,377
- 12,935
Asante sana afande wa zenjiNaona mwiko huko nyuma unakuwasha sana hapo avic town
Kataa uafande
Naona mwiko huko nyuma unakuwasha sana hapo avic town
Kataa uafande
Basi umefurahi mno.Hahaaa.
ANA MWIKO NYUMA????
Yupo vizuri sana katika kazi ya kutumbuizaHongera kwakee, kuitwa tyuuh ni kunasadifu ubora wake..
Na kutandaza sokaaYupo vizuri sana katika kazi ya kutumbuiza
Anao/wanao Tangu 1935Hahaaa.
ANA MWIKO NYUMA????
Hata jeshini kuna bendi...lakini haitoi ukweli kuwa wale ni wanajeshiYupo vizuri sana katika kazi ya kutumbuiza
Soka la wapiNa kutandaza sokaa
Kwa hiyo umekubali kuwa sako ni mcheza mayenuHata jeshini kuna bendi...lakini haitoi ukweli kuwa wale ni wanajeshi
Haijalishi hata Morison pia anacheza mayenu vizuri tuu huko Avic...ila kipaji anacho hana???Kwa hiyo umekubali kuwa sako ni mcheza mayenu
Kazi ya kubwa kwenye kikosi Cha Senegal ni kwenda kumchekesha sadio mane.Haijalishi hata Morison pia anacheza mayenu vizuri tuu huko Avic...ila kipaji anacho hana???
Tukiongea Facts na sio mbambamba
Angekua na sura kama yako hapo kwny Avatar angemchekeshaKazi ya kubwa kwenye kikosi Cha Senegal ni kwenda kumchekesha sadio mane.