Pape Osumane Sakho aitwa kikosi Cha taifa Senegal kwenda kutumbuiza (kuruka mayenu) Kama alivyofanya Mwanzo.

NALIA NGWENA

JF-Expert Member
Oct 6, 2016
10,377
12,935
Kiungo nyota wa Wekundu wa Msimbazi Pape Sakho ameitwa kwa mara nyingine kwenye kikosi cha timu ya Taifa ya Senegal kitakachocheza dhidi Benin na baada mchezo wa kirafiki dhidi ya Brazil

Sakho amejumuishwa kwenye kikosi cha Simba hao wa Teranga kilichosheheni wachezaji nyota wanaosakata soka sehemu mbalimbali Duniani.
 
Haijalishi hata Morison pia anacheza mayenu vizuri tuu huko Avic...ila kipaji anacho hana???
Tukiongea Facts na sio mbambamba
Kazi ya kubwa kwenye kikosi Cha Senegal ni kwenda kumchekesha sadio mane.
 
Ila twende mbele turudi nyuma uelewa wa mambo wa Wabongo ni mdogo sana mithili ya chembe ya haradali. NO OFFENCE.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…