habari wandugu
...nina mdogo wangu aliresign kwa mnkoloni na kulipwa tumafao twake kama 15m, na aliniuomba nimtafutie fremu ili aanzishe biashara!Nilianzia maeneo ya sinza na bei ya frmu iliyopo kwenye business center ilikua inaanzia laki nne, then nikaenda k/nyama pale frem niliambiwa ts laki 7 kwa mwezi! then nikenda mwenge pale niambiwa kuanzi lk nane.na wwote wanaka kodi ya mwka
...nina mdogo wangu aliresign kwa mnkoloni na kulipwa tumafao twake kama 15m, na aliniuomba nimtafutie fremu ili aanzishe biashara!Nilianzia maeneo ya sinza na bei ya frmu iliyopo kwenye business center ilikua inaanzia laki nne, then nikaenda k/nyama pale frem niliambiwa ts laki 7 kwa mwezi! then nikenda mwenge pale niambiwa kuanzi lk nane.na wwote wanaka kodi ya mwka