VUTA-NKUVUTE
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 6,135
- 17,802
Upande wangu wa kulia chini ya kitovu una maumivu makali yanayoambatana na tumbo kuunguruma.Nimefanya vipimo vya Ultrasound nikaambiwa kuwa sina tatizo.Mahala hapa bado panauma.Hili ni tatizo gani? Tiba yake ni ipi?