Ni habari nzuri kwani inahusu maisha halisi ya wanaoua watu wasio na hatia na harakati zote za Marekani kule Afghanstan.
Ni habari nzuri kwani inaonesha ni kiasi gani watu wanauawa na ni operation gani za siri zinaendeshwa ndani ya nchi hiyo ilioanza kubomolewa mwaka 2001.
Ila mleta mada ungeweka kichwa kinachosema kwamba TAARIFA ZA SIRI ZA KIJESHI ZA MAREKANI ZATOLEWA HADHARANI BILA IDHINI.