Utambue kuwa hakuna chawa wa kitumiwa na watawala katika uovu, ambaye huwa na akili timamu. Huyu ni chawa anayetumiwa na watawala wauaji, usitarajie kuna popote atakapotumia akili hana!
Fuatilia hata hapa JF, kama utaona andiko lolote la yale machawa sugu, kama utapata andiko lolote linaloshiria akili kuyoka kwa machawa sugu yanayofamika: Mwashambwa, Big Show, Tlaatlah, Doctor wa Manesi, n.k.