MKEHA
JF-Expert Member
- Jan 26, 2013
- 716
- 1,144
Wakati Makonda anakiwasha sana kule Arusha kwa mkurugenzi wa jiji la Arusha kule Tabora mkurugenzi wa Sikonge nae hali ngumu sana baada ya hospital ya halmashauri kuonekana kama ilijengwa chini ya kiwango na tabia yake ya kutembea sana nje ya mipaka ya halmashauri yake.
Kuna muda unaweza kuwaelewa sana hawa ma RC kwani kuna vitu vinatia aibu sana kwa serikali.
Unatamani mara nyingine uteuzi uwe wa kushindanisha watu wenye ueledi flani kwenye hicho cheo
Kuna muda unaweza kuwaelewa sana hawa ma RC kwani kuna vitu vinatia aibu sana kwa serikali.
Unatamani mara nyingine uteuzi uwe wa kushindanisha watu wenye ueledi flani kwenye hicho cheo