PAC yaendelea kugundua madudu TRL

wewe ndo zero kabisa. title inaongelea PAC. hiyo yako ya CAG anzisha thread yake.

 
 
 
Kaka wala hauogopi unasema tu hayo nyamaza ila acha uoga kabisa utashangaaa sana yaani duh
kaka natamani sana wakague mikataba ya Udom,nini kuogopa?maana kama ni tetesi tu za kutafunwa pesa zipo za kutosha sasa tutathibitishia wapi mkuu??
 
Hivi hao PAC hawajawahi kushtukia Zitto kuhongwa na Pap ama ya wenzao siyo rushwa na matumizi mabaya ya vyeo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…