kama ulivyo abunuas. mada inahusu cag ambaye ni mtumishi wa serikali na mahesabu ni ya trl ambayo iko chini ya serikali. sasa unapoingiza mbowe na hao wengine inamaana hujielewi. kwani mbowe ni waziri au naibu wa usafirishaji?au yeye anahusika vipi na madudu ya trl? gt hapishi mada bali anachangia mada kwa hoja mujarabu