P2 Husababisha Ugumba Ummy atoa Muongozo

P2 Husababisha Ugumba Ummy atoa Muongozo

nashukuru mzima

JF-Expert Member
Joined
Jul 11, 2017
Posts
1,014
Reaction score
1,914
Waziri wa Afya Mhe.Ummy Mwalimu, amesema serikali imejipanga kutoa elimu ya matumizi sahihi ya vidonge vya dharura vya kuzuia mimba (P2), ili kuepusha wananchi hasa wasichana na madhara, Kutokana na matumizi holela ya vidonge hivyo, ambavyo vinaweza kusababisha kupata ugumba na saratani.

Waziri Ummy amebainisha hayo, mkoani Dar es Salaam wakati akizindua ripoti ya utafiti wa haki za afya ya uzazi kwa wanawake, na wasichana Tanzania, uliofanywa nchi nzima na Chama cha Waandishi wa Habari Wanawake Tanzania (TAMWA).


Sent from my SO-01L using JamiiForums mobile app
 
.
1690048469119.jpg


Sent from my SO-01L using JamiiForums mobile app
 
Msiandike habari za kitaalamu kama hizi kama unaandika juu ya VICOBA.

Heading inasema kingine content inasema kingine.

Kuna tofauti kati ya inaweza na inasababisha!
 
Back
Top Bottom