VUTA-NKUVUTE
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 6,140
- 18,004
Mesuit Ozil ameshatoa pasi ya bao lililofungwa na Giroud dakika ya 11.Arsenal yaongoza kwa 1-0 dhidi ya Sunderland. Dakika ni ya 17
Wakati huohuo,Gareth Bale ataingia uwanjani leo kuitumikia Real Madrid watakapokuwa ugenini dhidi ya Villareal. Kabumbu hilo litapigwa kuanzia saa tano usiku wa leo
Kaa chonjo!
Wakati huohuo,Gareth Bale ataingia uwanjani leo kuitumikia Real Madrid watakapokuwa ugenini dhidi ya Villareal. Kabumbu hilo litapigwa kuanzia saa tano usiku wa leo
Kaa chonjo!