Bazobonankira
Senior Member
- Jan 18, 2007
- 120
- 61
Nimekuwa nikijaribu, kwa mara nyingi tu, kufuatilia waalifu ambao wamekuwa wakisumbua raia (micro and macro thieves) na kutaka kujiridhisha ha hatua madhubuti zinazochukuliwa na jeshi la polisi nchini.
Cha ajabu, pamoja na kuwapo orodha ya watu lukuki wanaodaiwa kutafutwa na Polisi (akiwemo shailesh vithlani), hebu tazama orodha ambayo polisi wamkuwa wakiining'iniza katika mtandao wao tangu katikati ya mwaka jana.
Je wengine hawakuwekwa kwa makusudi, wamesahaulika au imependekezwa na wakulu ili wasiwekwe? hata kama hawana sura zao, majina je?
Tunaweza kuanza kuwaorodhesha? Namba moja ni........
Cha ajabu, pamoja na kuwapo orodha ya watu lukuki wanaodaiwa kutafutwa na Polisi (akiwemo shailesh vithlani), hebu tazama orodha ambayo polisi wamkuwa wakiining'iniza katika mtandao wao tangu katikati ya mwaka jana.
Je wengine hawakuwekwa kwa makusudi, wamesahaulika au imependekezwa na wakulu ili wasiwekwe? hata kama hawana sura zao, majina je?
Tunaweza kuanza kuwaorodhesha? Namba moja ni........