Oral interview sekratarieti ya Ajira

Oral interview sekratarieti ya Ajira

PANDIT92

Member
Joined
Aug 9, 2019
Posts
29
Reaction score
7
Wenye kuwahi kuingia oral interview utumishi hivi huwa wanauliza maswali gani?
 
Maswali Haya Lazima uulizwe.
*Tell us About your Self
*As an Accounts Assistant Give us five(5) responsibilities(Hizi utazipata katika Tangazo la kazi meza Tano kama zilivyo).

Kuhusu Maswali ya Kada yako Mala nyingi wanapendaga kucheza na topics hizi Ko unaweza yakuta kama yalivyo.

1.Trial balance(goals zake ziko mbili) wewe tafuta 5
2.Importance za Bank reconciliation statement (5)
3.Element za cash flow statement(5)
4.Advantages za cashflow statement(5)
5.Types of accounts(5)
6.Atleast five source docs states that(5) au (3)
7.Elements of income statements(5)
8.Elements of financial statements(5)
9.Five books that prepare before prepartion of Financial statements
10.Types of vouchers(5)
11.Types of invoices(5) au (3)
12.Challenges faces as an accounts Assistant(5)
13.Purpose Of General Accounting Acceptable Principles ziko mainly tatu au unaweza ambiwa weka (5)
14.Clossing process in books of accounting. Ziko (3)
15.Three Parts of Bill of Exchanges

Kaza hizo alafu vingine utaongezea mwenyewe ,You will Thank me later.
 
Maswali Haya Lazima uulizwe.
*Tell us About your Self
*As an Accounts Assistant Give us five(5) responsibilities(Hizi utazipata katika Tangazo la kazi meza Tano kama zilivyo).

Kuhusu Maswali ya Kada yako Mala nyingi wanapendaga kucheza na topics hizi Ko unaweza yakuta kama yalivyo.

1.Trial balance(goals zake ziko mbili) wewe tafuta 5
2.Importance za Bank reconciliation statement (5)
3.Element za cash flow statement(5)
4.Advantages za cashflow statement(5)
5.Types of accounts(5)
6.Atleast five source docs states that(5) au (3)
7.Elements of income statements(5)
8.Elements of financial statements(5)
9.Five books that prepare before prepartion of Financial statements
10.Types of vouchers(5)
11.Types of invoices(5) au (3)
12.Challenges faces as an accounts Assistant(5)
13.Purpose Of General Accounting Acceptable Principles ziko mainly tatu au unaweza ambiwa weka (5)
14.Clossing process in books of accounting. Ziko (3)
15.Three Parts of Bill of Exchanges

Kaza hizo alafu vingine utaongezea mwenyewe ,You will Thank me later.
Umeua sisimizi kwa nyundo
 
Swali la kwanza :Tell us about yourself/Give us your academic and professional background/Walk us through your resume

Swali la pili:What are the responsibilities of a Tax Officer? (hapo kwenye Tax Officer weka position uliyoiombea kazi)

Then yanakuja maswali technical yanayohusu hiyo kada..Yanaweza kua ya shule kabisa yale.

Swali la penultimate:What are the challenges faced by a Tax Officer?

Swali la mwisho: Do you have any question?


Hii ni according to panel niliyoattend mimi..Nimefanya oral moja tu ya utumishi hivyo kunaweza kukawa na aina tofauti ya maswali ya utumishi.
Wenye kuwahi kuingia oral interview utumishi hivi huwa wanauliza maswali gani?
 
Kumsaidia maana yake apate kazi, sidhani kama matokeo yanaweza kutoka ndani ya muda mfupi hivi.
 
Back
Top Bottom