Opportunist Mrisho Mpoto


Mkuu nakuomba sana sana!!!!! Kuna watu kibao hatujawahi kuona hiyo video, naomba upost au utoe link utakuwa mzalendo wa kweli kweli mkuu!!!!! LETA VITU WATU WAUMBUKE VIZURI.
 
Mrisho Mpoto ni kalai bovu, tushamuingnore toka siku nyingi.
 
Gombania mchumba, MC kakukosea nini?
 

Hata mimi nilishamdharau sana namuona kama mchumia tumbo tu! Na nina uhakika kijiheshima alichokuwa nacho kinaporomoka kwa kasi ya kutisha. Nadhani anatumiwa kama condom na watawala waliofilisika sera! Pole yake
 
Umtakaye wewe!jamaa kwa richmond yake na sasa dowans?hajawahi kwenye hii saga kumtetea mtanzania wakawaida!leo umeme uko ghali unit moja 360/- anafaidika yeye na rafiki zake,hafai kwa masika wala kiangazi!Selfish personality...
 

Unamaanisha Lowasa huyu mwizi fisadi wa richmond? Pole sana nyie walamba viatu vya mafisadi ili tu mkono uende kinywani
 
Muacheni Danny Sserunkuma ajipatie kipato msimu wa mavuno huu
 

Unamaanisha Lowasa huyu mwizi fisadi wa richmond? Pole sana nyie walamba viatu vya mafisadi ili tu mkono uende kinywani
 
Aaa yu klezi?
 


Niaamni kuwa Mpoto ni msanii na analenga kupata riziki yake kutokana na sanaa. Sanaa zenye mlengo wa siasa bila shaka zinalipa ila ajiangalie zitamaliza kibiashara.
 
Makonda amejipa kazi ya TAKUKURU...?

Kama sio mwendelezo wa zilezile siasa zilizozoeleka, kwanini hakutoa taarifa kwa mamlaka husika ili watuhumiwa hao wakamatwe?
 

Akiwa na Membe na Sitta ni sawa lakini Kwa Lowassa ni downfall. Hoja hafifu na mfu unajaribu kuleta Kwa wapembuzi wa hoja. Hapa Mrisho Mpoto amesoma upepo na salama za nyakati na huo ndiyo usanii Wa kweli.

Ndugu yangu fahamu pia kwamba Wengi wameshaungama dhambi zao za usaliti dhidi ya ndugu Lowassa. The anonymous list of converts is long Mpoto is just an niddle in the Indian ocean.
 
Acheni ujinga ninyi, lowasa ni km maji msipokunnywa mtayahitaji muoge
 

Uongo mwingine mtakatifu huo hapo huu!

Mpoto alikuwa ofisini kwa ndugu Lowassa je hapo kina CHABRUMA aka Makonda wana uwezo gani huo wakufunga kamera hizi.

Hatutaki uongo uliotukuka hapa, vijana type Makonda wasema hovyo wamekosa hekima na maarifa na ndiyo maana wamepotoka Kwa mujibu wa maandiko matakatifu.

Makonda afahamu kuwa busara endelevu ni ukimya na vilevile kuwa na akiba ya Maneno. Asikubali kutumika hivyo kwa kupewa sifa za kijinga, wakati wanaomtuma watabaki salama na kumuacha yeye kuonekana kituko.
 
utumbo mwigine, Lowasa sio muuza unga wa kutembea na kitita kiubwa cha madafu. Makonda angekuwa na huo mkanda, asingesubiri muda wote huo. Mwisho, Mpoto na njaa kali inayomuandama, hawezi kukaaa hata elfu mbili
 
Hizi siasa za kipumbavu za akina makonda hakika haziwezi kuisaidia kambi ya pili.unawezaje kutegemea Vijana wa hovyo kukuinua kisiasa kwa kutunga ushenz kama huu? Mbona kuna Vijana making wa kuwatumia ?
 
Mpotoaliwahi kutembelea UDOM,na kipindi hicho chuo kilikuwa kwenye migomo ya mfululizo kupinga uonevu uliokuwa unafanywa dhidi ya wanachuo.Mpoto alisema hivi;"ukitaka kuvuka mto wenye maji mengi na ukamkuta mtu kando ya huo mto na akakupa sharti kwamba ni lazima umwamkie mbwa ili uvushwe kwenda ng'ambo ya mto,basi kubali kumwamkia mbwa ili uvuke salama kwenda nga'ambo ya mto".Unategemea nini kutoka kwa msanii kama huyu? Mpoto hana sifa ya uanaharakati,bali ni mchumia tumbo tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…