Hizo simu zinauzwa 950004G LTE Mkuu
Hivi kwanini zinauzwa cheap hivyo? Zina tatizo?Hizo simu zinauzwa 95000
Kwamba unabishs auKanunue
SawaKanunue
Ni za zamani sana,utakuta inatumia android 5Hivi kwanini zinauzwa cheap hivyo? Zina tatizo?
Kuna nyingine nilitaka ninunue 90,000 nikaona android sijui 8.1.Ni za zamani sana,utakuta inatumia android 5