Operesheni bomoa bomoa Temeke

gambosh

Member
Joined
Mar 1, 2014
Posts
34
Reaction score
5
Sasa hivi mabanda katika eneo la Temeke hospitali kuna usafishaji ya hali juu sana huku vibanda vyote vinaondolewa kando kando ya barabara katika mitaa yote.
 
Nivzr km wamewaandalia eneo la kufanyia biashara zao,tofauti na hapo watakua wanaongeza idadi ya wahalifu mitaani
 
Shida ni kwamba je wataweza kuendelea ?
 
Hakuna jipya hapo itakuwa kama ubungo darajani sasa hivi soko letu limerudi kama kawa
 
Nivzr km wamewaandalia eneo la kufanyia biashara zao,tofauti na hapo watakua wanaongeza idadi ya wahalifu mitaani
Hii ya 'kuongeza wahalifu mtaani' imekuwa wimbo wa kisiasa, na wabongo mkikaririshwa kitu hakitoki kichwani, hata kama hakina msingi. Vibanda vyote viondolewe, magereji bubu yote yatolewe, mitaa inyooke jiji lipate hadhi. Watu wajifunze kufungua biashara katika maeneo rasmi, watambulike na walipe kodi kama watumishi wa umma wanavyolipa kwa lazima. Bila kutumia nguvu wabongo hawana aibu, watakupangia mafungu ya vitunguu hadi airport!
 
Je wameshawatengea maeneo mapya? kwa ajili ya kuanza maisha mapya ya biashara?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…