Open university ni miaka 8?

Open university ni miaka 8?

balozi tz

Member
Joined
Aug 5, 2015
Posts
57
Reaction score
8
Nimeingia TCU nimekuta miaka 8
Na prospector nayo imeandikwa 3-8
Ndugu zangu naomba kujuzwa ndugu yangu anataka kwenda pale
Samahan kwa usumbufu
 
....hata mlimani unaweza kusoma miaka 10 ukiwa mzembe baada ya hapo unapigwa kibuti. Ninamfahamu jamaa alikuwa COET alirudia rudia miaka kwa sababu mbalimbali mpaka anamaliza alikuwa amegonga miaka kumi ya shule pale mlimani. Sawa na open nafahamu pale spidi yako ndo inakufanya umalize haraka au uchelewe maana ni distance learning university. Wapo watu nawafahamu walisoma sheria kwa miaka 3, dean wao akawakomalia wasubiri mpaka itimie miaka 4 kwakuwa ndo ilikuwa minimum no of years kwa law. ....
 
Nimeingia TCU nimekuta miaka 8
Na prospector nayo imeandikwa 3-8
Ndugu zangu naomba kujuzwa ndugu yangu anataka kwenda pale
Samahan kwa usumbufu

Sio 8, minimum ni 3 na maximum ni 8! Yaani ukishindwa kugraduate kwa miaka 3 basi unaruhusiwa kuendelea kusoma hadi miaka 8! Ukishindwa hapo huna chako.
 
ukifeli unarudia mwaka tofauti na vyuo vingine..
nadhani 8years ndiyo maximum.
 
Minimum ni miaka3 kuanzia hapo mwaka wowote unaweza kugraduate mpaka miaka mi8. Baada ya miaka 8 unaDISCO ......please try again leter
 
ukifeli unarudia mwaka tofauti na vyuo vingine..
nadhani 8years ndiyo maximum.

..sio kweli, ukifeli unadisco, ila unaweza kusoma units chache mpaka miaka nane max....
 
Back
Top Bottom