ndugu stephano sasa hivi karibia vyuo vyote wanataka pesa, nilienda kufanya registration pale UDSM juzi nikakuta hawakubali ada nusu wanataka ya mwaka mzima,uzuri wa pale unaandika barua kwamba utalipa kiasi fulani cha pesa then hizo zilizosalia utamalizia lini? then ukisha jicommit utaruhusiwa kufanya registration. Hakuna kwenye uafadhali sasa hivi ni kulipa tu kwa sababu elimu ni kwa ajili yako na pia watu hawalalamiki wakichangia vitu kama harusi, elimu ni yako na itakusaidia wewe, na pia nafikiri mpaka ukaamua kwenda kwenye masters ina maana ulijipanga na suio kukurupuka, so ilibidi jamaa waweke kiakiba kidogo kidogo, leo hii wasingelalamika