wadau kuna taarifa toka kwa wadau ambao wanataka kujiendeleza katika chuo chetu kikuu huria cha Tanzania kwa madarasa ya jioni kuwa mkuu wa chuo hicho ametoa maelekezo kuwa wanafunzi wanaoanza kozi ya masters ambao hawataweza kulipa ada yote ya mwaka wasiruhusiwe kuingia madarasani. kuna yoyote anaelijua hilo?
kuna mapendekezo ya chuo kingine ambacho walalahoi ambao wanafamilia na wanajisomesha wanaweza kwenda ambapo watakubaliwa kulipa kwa awamu?
kuna mapendekezo ya chuo kingine ambacho walalahoi ambao wanafamilia na wanajisomesha wanaweza kwenda ambapo watakubaliwa kulipa kwa awamu?