Ukumbi ndio unachomwa moto siku hiyo, walidhani wame win kummaliza mzee wa msituni mapema kumbe ndio kuna wazalendo hatari kweli.
Kukata majina ni LAZIMA haiepukiki na ni kwa mjibu wa KATIBA ya CCM.
Majina yanayotakiwa ni MATANO tu, hivyo Kamati kuu haiwezi kupeleka majina yote 40.
Kama wewe hutaki jina la LOWASSA likatwe, vivyo hivyo wengine nao hawataki majina yao yakatwe!
Mimi nashauri watia nia wote wajiandae kisaikolojia, kwa lolote lile litakalotokea. Kwani mwisho wa mchakato huo ni JINA MOJA tu ndiyo linatakiwa.
Hakuna...Hakuna..nasema hakuna kukata jina la Lowassa hapo Dodoma. Mkilikata tutapigana hapo Dodoma mchana kweupeee.Tutagawana fito na kama chama ndio kifie hapo..
Mwaka 1995 tulimuheshimu tu mzee aliposema muda bado lakini sasa hatumsikilizi mtu tena.Mleteni wana NEC wenyewe tuamue.
Nchi imeyumba na imekwama,wa kuitoa hapa ni Lowassa pekee hakuna mwingine.Naomba munielewe na hakuna namna nyingine.
Tukutane Dodoma kwa mapambano ikiwezekana...
wote waliotangaza nia hakuna ambaye ameweza kueleza namna ambavyo anaweza kututoa apa tulipo isipokuwa JANUARY MAKAMBA pekee ndoameweza kuuhutubia umma wa watanzania pekeee.Naamin NEC watatimiza wajibu wao ikiwa watamuona anafaa basi atapita lakin tuwe wazalendo na kuacha ushabiki kwenye swala la kitaifa kama hili Lowassa hafai hata kidogo
Hakuna haja hata ya kumkutanisha na Tyson. Huyomachinjiliwe baharini tuMnahangaika na Lowassa mtu ambaye hana hata hoja,mtu ambaye wakikutanishwa na Wassira lazima Lowassa afe mbele ya hoja nzito zinazotolewa na Wassira
Kama unampenda sana mwende naye mkanywe chai huko. Kwenye suala la nchi ni kiongozi bora, safi na muadilifu ndiyo atapitishwa. You can take that to the bank!
Unaona sasa,udhaifu wa CCM ndio unaoifanya CCM kupigwa mkwara hata na vimburu ambao hawajulikani hata wanakotokea.
Hayo kweli ni masiharaMkuu acha masihara basi!!!Makamba awe Rais wa nchi hii kweli?
CCM ni moja. Hao wengine ni mavuvuzela na mawakala wa mafisadiHah hah hah hahaaa
Hiyo nd'o ccm ya kisasa kila mtu na kila fisadi anakuwa msemaji mkuu wa ccm.Mwelekeo sasa wa chama ninauona uleeee unapotea.
Mpaka Julai Tisa, mamvi atakuwa amejinyonga baada ya jina lake kutokuwepo kwenye tano boraTukutane Dodoma uone ni nani anagaragazwa siku hiyo.
Mkuu, hawa mafisadi wanaweweseka kweliOnyo hili unatoa wewe kama nan?