Only in Tanzania !

Ni nchi ya pili kwa kuwa na vivutio vingi vya utalii duniani rudia duniani lakini haipo hata 100 bora kwa kuingiza watalii nchini eti tumezidiwa hata na kenya na burundi.chezea bongo wewe tupo tupo tu
 
Wewe nawe ni ajabu lingine la dunia, kuona hilo ndilo jambo baya zaidi kuliko wizi wa rasilimali zetu, udhaifu wa M.k.w.e.r.e na serikali yake, rushwa na ufisadi, kupanda kwa gharama za maisha, hali tete ya amani, viongozi kutokuwa na sera na mikakati maalumu ya kushughulikia matatizo yanayowakabili wanachi, ujangili, etc. Hivi chama cha upinzani kikiwa na sheha huko Zanzibar ndio ugumu wa maisha na matatizo ya wanachi wa Tz yataisha? Ninyi mlio na hao viongozi huko mbona ndio chanzo cha matatizo yote ya nchi hii? Sasa tofauti ya wale ambao hawana viongozi Zanzibar na ninyi mlio na hadi mashehe achilia mbali masheha, ni nini? Unazi mwingine bwana, wewe Zomba ni mojawapo wa maajabu ya dunia hii! Itabidi tukupigie kura! Shwaini!
 
Muungano wa nchi mbili unazaa nchi mbili..
 
Spika wa Bunge kumpongeza Waziri kwa kufanya vizuri katika kazi yake(MAKINDA AKIMPOGEZA MWAKYEMBE) .nilijua uliposema treni itakuwa njiani yalikua ni mambo ya PWAGU na PWAGUZI,utayakuta TZ.
 
Haya ndio maajabu ya Tz
1.Watoto kufaulu hawajui kusoma wala kuandika.
2. Marehemu kupiga kura kwenye BMK
3. Rais Mzururaji kuliko wote duniani.
4. Mbunge awe na uwezo wa kusoma na kuandika tu,hata kama aliishia darasa la pili ilimradi anajua KKK
5.Uwajibikaji,uwazi,uzalendo na ukweli ni vitu visivyotufaa hivyo viondolewe.
6. Rais ambaye hata nukuu zake haziwezi kuwekwa katika vitabu vya kumbukumbu et unaweka nukuu kama hii" ukitaka kula lazima uliwe"
7. Rais,makamu na waziri mkuu wapo kama hawapo.
 
naomba nikujibu namba 4, waliofeli ni wale ambao walipata mimba kwa viherehere vyao na hawajui hata shule ilipo kwahiyo siku ya mtihani hawakwenda kufanya
 
Nchi pekee inayokata PAYE kwa watumishi wote pamoja na walimu lakini inakata tena take home za walimu kwa ajiri ya ujenzi wa maabara shule za kata. Only Tanzania
 
yapo tanzania tu, hiyo point ya tano ukiwauliza wanajijitetea kati ya nchi 54 zilizoshiriki mashindano, only 10 ndo wamepata kitu wengine wote hatujaambulia kitu, hatuko peke yetu. Ha ha ha ha,....you can only find such answers in tz

Mcba wa wengi ni haruc
 



Ha-ha-ha-haa-hah-hah!
 
Nchi ambayo wenye akili ndogo ndio wanachuguliwa kuongoza nchi na wenye nyingi hawachaguliwi
 
Nchi ambayo raisi anaenda kufungua wodi mahususi ya EBOLA na kuwasifu wahusika halafu kuwashauri wahakikishe maji yanatoka maana aliona maji hakuna. Usiulize gharama za hio wodi ilikua sh ngapi.

Nchi ambayo kiongozi wake anajisifu kwa kuomba na kupewa misaada kutoka nchi za nje! Kwakweli hili nitamshangaa mpaka kufa!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…