Machozi ya SimbaHabari zenu wadau hivi kulipia ads za playstore ili kutangaza app yako utaratibu unakuwaje maana nimetengeneza app yangu ya kustream Tanzania radio yenye zaidi ya radio 30 nahitaji kwa mwenye uelewa
Bongo Radios – Applications Android sur Google Play
Na unalipia kwa downloads or kwa kudisplay kwa watu?Play console ulipopublish App chini ya User acquisition kuna Adwords Campaigns.
Habari zenu wadau hivi kulipia ads za playstore ili kutangaza app yako utaratibu unakuwaje maana nimetengeneza app yangu ya kustream Tanzania radio yenye zaidi ya radio 30 nahitaji kwa mwenye uelewa
Bongo Radios – Applications Android sur Google Play
Hapo inabidi uende google adwords utengeneze kampeni ya kutangaza hio app yako kupitia playstore.....tumia kadi za equity bank
Ok shukran mkuu ngoja nijaribuUnalipia per click. Na mara ya mwisho nilipocheki hauwezi kurun Ads playstore peke yake, unaweza kufanya universal App campaign ambayo Ad itaonyeshwa kote katika site za google i.e search,play,youtube,banners au unaweza kufanya search campaign ambayo itaonekana search na unaweza kuongezea play search.
Hizi Ad ni expensive na mara nyingi hazileti ROI ila inategemea lengo lako ni nini. Itabidi uingie tu Adwords uwe teyari kufanya majaribio na pesa yako.
Nimedownload AdWords mbona hamna sehemu ya kupay for servicesOk shukran mkuu ngoja nijaribu
App yako boss iko poa sana... Lakini kuna machache rekebisha, ukirekebisha naomba unijuze, maana nipo mkoani Na kuna channel nzuri sana za dini zimenivutia...Habari zenu wadau hivi kulipia ads za playstore ili kutangaza app yako utaratibu unakuwaje maana nimetengeneza app yangu ya kustream Tanzania radio yenye zaidi ya radio 30 nahitaji kwa mwenye uelewa
Bongo Radios – Applications Android sur Google Play
OK asante kwa maoni yako,nitayafanyia kazi ila kwa upande wa times FM mbona ipo?App yako boss iko poa sana... Lakini kuna machache rekebisha, ukirekebisha naomba unijuze, maana nipo mkoani Na kuna channel nzuri sana za dini zimenivutia...
Marekebisho:
1. Wapo Radio inaingiliana Na radio one, yaani Niki bofya wapo inakuja Redio One.
2. Upendo Redio haifanyi kazi... Yaani button yake imekuwa kama "disabled"
3. Naomba uongeze Na times fm
Ni hayo tuu....
Ebony FM ya iringa vipi mbona haipo?OK asante kwa maoni yako,nitayafanyia kazi ila kwa upande wa times FM mbona ipo?
Soon,tutaiwekaEbony FM ya iringa vipi mbona haipo?
Hii radio nyanda za juu kusini inapendwa sana
Playstore Pubilsher>user accusation>create campaign, baada ya hapo ukiweka payment option sehemu ya kujaza Bid size ndio watu wanafeligi apo,,,Kuna mtu ana budjet ya 5$ a day anaweka bid size ya 1$, utajikuta kwa siku budjet yako inazidi hadi kufikia dola 50 wakati wewe hukuset ivo!!!, au unajikuta unapata clikcs chache kwenye ad yako,, so kibongo bongo bid size nzuri weka 0.05 mpaka 0.1! kwa budjet ya kuanzia 5$Habari zenu wadau hivi kulipia ads za playstore ili kutangaza app yako utaratibu unakuwaje maana nimetengeneza app yangu ya kustream Tanzania radio yenye zaidi ya radio 30 nahitaji kwa mwenye uelewa
Bongo Radios – Applications Android sur Google Play