Online pizza/fast food ordering system 0654262419

ok hiyo ilikuwa alpha version............. naweza kuadd functionality ya mteja kuselect mgahawa kulingana na sehemu alipo. ukiwa dar utahudumiwa na migahawa iliyo karibu na wewe..the same ukiwa mbeya.........kumbuka hata google unayoiona leo haikuwa hivo mwanzo......... hizo system analysis and development nshafunika kitambo......na bahati nzuri nilianza na tutorial za havard
 
chakula kitaharibikaje wakati kinakuwa delivered within 20 to 60 minutes?
 
kwani we ukipanda bodaboda na unaenda sehemu ambayo hijui huwa unamwelekezaje mpaka unafika?adress tunatumia kama tulivozoea afrika mfano tegeta nyaishozi halafu unataja na eneo maarufu lili karibu na hiyo location........foleni sio ishu kwani watu wa delivery watatumia pikipiki na watapita njia za mkato
 
Msimkatishe tamaa jamani.
Hii kitu ipo teyari na inafanya kazi hapa Tanzania inaitwa HelloFood unaweza kuinstall app yao kwenye simu yako, wanakuletea msosi wa karibia restaurant zote kubwa kubwa.
Payment inafanyika on delivery au mobile money.
 
Nimegundua kwenye jamii wako ambao wanakata sha watu tamaa mnoo ukiwa unafata kila kinachoongelewa huta songa mbele na kutimiza maneno yako.
Big up mtoa mada, hi 5 to Hello food tumeshuhudia na tumejionea kwa macho.

Kasie.
wakatishaji tamaa huwa siwasikilizi..........thanks for your coment
 
Kwa bidhaa aina nyingi hiyo kitu inawezekana, ila kwa chakula kitasumbua manake kinahitaji at least 1hr after kupikwa kimfikie mteja, ili ale kikiwa fresh na akifurahie

Only way ni kuwa na genuine customers tu
one hour sio muda mrefu sana ............kumbuka migahawa mingi wanaivisha msosi saa sita but ukienda saa kumi bado unakuta viko fresh........thanks kwa kuchangia
 
Msimkatishe tamaa jamani.
Hii kitu ipo teyari na inafanya kazi hapa Tanzania inaitwa HelloFood unaweza kuinstall app yao kwenye simu yako, wanakuletea msosi wa karibia restaurant zote kubwa kubwa.
Payment inafanyika on delivery au mobile money.
wana comment negatively ni wale maprogrammer wenzangu ambao wamekariri makaratsi hawajui kwamba hivi vitu vinaweza kuwa implemted in real world
 
haijafeli mkuu......nothing imposible under the sun.......mwenye mgahawa sio lazima na branch nyingi bali migahawa yote tanzania itajisajili kwenye system so mteja atahudumiwa na mgahawa ulio karibu na yeye....hiyo functionality inpatikana beta version
 
Atujamkatisha tamaa mkubwa ila kwa bidhaa ya chakula haifai ndugu
mkuu kila kitu we unawaza hakiwezekani...........naomba utoe project yoyote ambayo unahisi ni ngumu kwako th
Atujamkatisha tamaa mkubwa ila kwa bidhaa ya chakula haifai ndugu
mi sijaona ugumu hapo...nothing is imposible........na nimeapa vitu vyote vinavyowasumbua wabongo ntavi implement tu
 
Ok kama itahusu migahawa mingi hapo sawa maana mtu hata hudumiwa mgahawa uliopo karibu yake hapo sawa ila je nani ataimiliki
 
Ok kama itahusu migahawa mingi hapo sawa maana mtu hata hudumiwa mgahawa uliopo karibu yake hapo sawa ila je nani ataimiliki
atakayeimiliki ni mfanya biashara yeyote hata wewe unaweza imiliki then wenye migahawa/hoteli wanalipia subscriptions
simple mathematics on money will be generated
if they pay you 100usd per month lets say you registered 1000 hotels and restaurant all over tanzania....100x1000=100,000usd per month hiyo ni pesa ndefu mzee........ you can live as a king
 
Iko motivating sana hii kitu. Dar ukiwa smart unapiga hela kama jeff bezos!
 
mtoa mada umenifanya nianze kufanya utafiti na kuanza kufungua biashara hii fasta
yeah hiyo mada nlitoa the way before jumia food hawajaanza shughuli zao hapa mjini
nadhani sasa hivi unaona how much money they are making,
best wishes
 
Nataka nikafanye hii ishu dodoma, kule miji imepangika
hata dar es salaam inafanyika vizur hellowfood na jumia wanafanya vizur sana kwa hii app
hata kama miji haijapangika vizuri unaweza andika AI scripts za kutrain hiyo app ili iweze kumap yenyewe unmapped locations
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…