JesusMyMaker
Member
- Jun 2, 2019
- 60
- 41
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Habari,
Jamani kuna mtu IG anajiita #vifurushi_mitandao yote(Kama sjakosea)
Asee huyu mtu nlim DM akanishawish kwa screenshot nkapenda huduma hiyo nkamtumia elfu 10
Yani unambia baada ya kutuma tu ile account naona haina tena post hata moja na zile message zake alzo ntumia namba ya kutumia Ela kesha zifuta
Aseee wazee don't try
Usnmbie ivo ofsa[emoji3525] jaribu kunipa moyo[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Unapenda kitongaa
Unamfamu?Habari,
Jamani kuna mtu IG anajiita #vifurushi_mitandao yote(Kama sjakosea)
Asee huyu mtu nlim DM akanishawish kwa screenshot nkapenda huduma hiyo nkamtumia elfu 10
Yani unambia baada ya kutuma tu ile account naona haina tena post hata moja na zile message zake alzo ntumia namba ya kutumia Ela kesha zifuta
Aseee wazee don't try
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]nacheka kama vile mazuriNamfaham wap mkuu nmeona tu matangazo yake IGView attachment 1552021
Mjini ni shule toshaHabari,
Jamani kuna mtu IG anajiita #vifurushi_mitandao yote(Kama sjakosea)
Asee huyu mtu nlim DM akanishawish kwa screenshot nkapenda huduma hiyo nkamtumia elfu 10
Yani unambia baada ya kutuma tu ile account naona haina tena post hata moja na zile message zake alzo ntumia namba ya kutumia Ela kesha zifuta
Aseee wazee don't try
Kikubwa uzima[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]nacheka kama vile mazuri
Sure,Kwan hiyo biashara ipo kweli mkuuPole sana mkuu, Ila watu wanaharibu sana bisahara za watu, utapeli utawaua.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] na kwel so kwa hiyo weit kidg dah mana bado nawait...Nimepapenda hapo "Ok weit kidogo".
Pole mkuu!
Inauzwa wapKamchukulie RB
Ikawa ivo bananaona manyoya tu, pole sana
Kituo cha karibu cha polisi.Inauzwa wap
Kila siku polisi wanatuma message usimtumie mtu Ela usie mjua[emoji1787]Kituo cha karibu cha polisi.
Ni shs 500 kukata RB
Pole tujitahidi kuwa waangalifu watu sisi njaa tupu neema ikijileta tunapita nayo hatuitaji kuwa tumeacha maumivu kiasi gani?Habari,
Jamani kuna mtu IG anajiita #vifurushi_mitandao yote(Kama sjakosea)
Asee huyu mtu nlim DM akanishawish kwa screenshot nkapenda huduma hiyo nkamtumia elfu 10
Yani unambia baada ya kutuma tu ile account naona haina tena post hata moja na zile message zake alzo ntumia namba ya kutumia Ela kesha zifuta
Aseee wazee don't try