zitabaki tetesi mpaka itakapofahamika vinginevyo make naona toka april mpaka leo bado majibu yamekaliwa kitu ambacho ni tatizo kubwa hapa tz make ishu zinawahusu watu lakini zinavyofichwa kila kitu siri,mikataba siri,mishahara siri, come on
..hivi ni kwanini watz hatusaiadiani hata kwenye ishu ndogo kama hizi?,stinking boresome!