F35-Bomber
JF-Expert Member
- Mar 18, 2017
- 1,348
- 1,066
(Applicants who have/were retired from the Public Service for whatever reason should not apply)
Habari zenu wakuu wa jamvi ni matumaini yangu kuwa wengi kama sio nyote ni wazima kwa nguvu za mueza.
Binafsi ninaomba nitumie pumzi hii ya leo kuiomba serikali kubadili kidogo mtazamo katika swala zima la ajira serikalini,
kwani katika moja ya masharti ya kuajiriwa serikalini wanasema muombaji wa nafasi hiyo asiwe alikwisha wahi kuajiliwa serikalini au kuacha au kufukuzwa au kustafishwa kwa namna yoyote ile.
Binasfi naona hii siyo sahihi kwani kuna mazingira mengi sana ya mtu kuacha,kuachishwa,kufukuzwa au kustaafishwa kazi.mimi ningeonelea kua ni busara kama mtu anasifa aombe kazi na aajiriwe kwani yeye ni mtanzania na na anaenda kutumikia watanzania
Hivi mnajua kua kuna mtu ni kijana bado ananguvu anaipenda nchi ila kisa amemzidi elimu bosi wake basi anafanyiwa figisufigisu na kwakua pia yeye ni binadamu basi anajikuta anaandika barua ya kuacha kazi serikalini ndani ya masaa 24 lakini kiekweli unakuta kijana ni mzalendo na anauwezo mzuri tuu wa kuisaidia serikali na hii ni angle moja tuu
Yapo matukio mengi tuu kama haya .hivyo basi naiomba serikali hii sikivu kutoa kipengele hicho ili watu wenye vyeti halali na ambao walikwisha tumika serikalini waweze pia kuajiriwa upya serikalini kama wanavyo vigezo na hawana makosa yoyote yale ya kijinai AKHSANTANI
Habari zenu wakuu wa jamvi ni matumaini yangu kuwa wengi kama sio nyote ni wazima kwa nguvu za mueza.
Binafsi ninaomba nitumie pumzi hii ya leo kuiomba serikali kubadili kidogo mtazamo katika swala zima la ajira serikalini,
kwani katika moja ya masharti ya kuajiriwa serikalini wanasema muombaji wa nafasi hiyo asiwe alikwisha wahi kuajiliwa serikalini au kuacha au kufukuzwa au kustafishwa kwa namna yoyote ile.
Binasfi naona hii siyo sahihi kwani kuna mazingira mengi sana ya mtu kuacha,kuachishwa,kufukuzwa au kustaafishwa kazi.mimi ningeonelea kua ni busara kama mtu anasifa aombe kazi na aajiriwe kwani yeye ni mtanzania na na anaenda kutumikia watanzania
Hivi mnajua kua kuna mtu ni kijana bado ananguvu anaipenda nchi ila kisa amemzidi elimu bosi wake basi anafanyiwa figisufigisu na kwakua pia yeye ni binadamu basi anajikuta anaandika barua ya kuacha kazi serikalini ndani ya masaa 24 lakini kiekweli unakuta kijana ni mzalendo na anauwezo mzuri tuu wa kuisaidia serikali na hii ni angle moja tuu
Yapo matukio mengi tuu kama haya .hivyo basi naiomba serikali hii sikivu kutoa kipengele hicho ili watu wenye vyeti halali na ambao walikwisha tumika serikalini waweze pia kuajiriwa upya serikalini kama wanavyo vigezo na hawana makosa yoyote yale ya kijinai AKHSANTANI