Najua kwa nini siku hizi umekuwa adimu JF!Dawasa kuna kazi wametoa kama unavyeti omba
Nipo sana ila sichangiii si unajua UZEENajua kwa nini siku hizi umekuwa adimu JF!
acha kabisa utajutaMtaani kugumu kaka ndo kwanza tumetoka veta tunashindwa tuanze vipi msaada wa kimawazo nahitaji tafadhariMimi Ni Fundi plumbing pia ila hiyo kazi kwa kujitolea ndungu n ngumu usiombe inachangamoto kinomaacha kabisa utajuta