Kizimbuzi
JF-Expert Member
- Jul 31, 2013
- 1,569
- 745
OMBI MAALUM KWA WATANZANIA WOTE:
Mimi Edward Ngoyai Lowasa ambaye ni mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano ya Tanzania kupitia CHADEMA chini ya umoja wa katiba ya wananchi UKAWA naomba wewe mwana chadema,mwana ccm, mwana NCCR, mwana TLP,mwana CUF,mwana ACT,na vyama vingine vyote pamoja na usiye na chama, tarehe 25/10/2015 unipe kura yako nami ntatenda kama mlivyonituma.
Katika maisha yatupasa kufanya maamuzi magumu lakini ya Hekima, yatupasa kusimama imara na kupiga vita roho ya woga, yatupasa kuandika historia ya kukumbukwa milele,yatupasa kutimiza wajibu wetu.
Wazee wetu waliotupatia Uhuru 1961 walithubutu na leo tunakula matunda ya Uthubutu wao.
Ingia kwenye historia kwa kufanya MABADILIKO kwa kuchagua diwani,Mbunge na Rais kutoka UKAWA.
Kuwa Shujaa, tuunge mkono katika mabadiliko na utajiona mwenye amani maisha yako yote!
Dumisha Amani Epuka Uchochezi, vurugu,na vitendo vinavyoweza kuhatarisha usalama wa Mama Tanzania.
Kumbuka tulianza na Mungu na tutamaliza na Mungu.
KURA YAKO ndiyo FIMBO YAKO KWA WATAWALA WALIOSHUPAZA SHINGO.
Kura yako pekee haitoshi,zungumza na mwenzio atuunge mkono, natumai umoja wetu ndio ushindi wetu(Nikuombe pia uwatumie Ujumbe huu watanzania kumi (10) ili nao wawe sehemu ya historia ya Mabadiliko ya Nchi yetu!)
AHSANTENI SANA!
E.N Lowassa.
Oct.2015, Dar
Mimi Edward Ngoyai Lowasa ambaye ni mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano ya Tanzania kupitia CHADEMA chini ya umoja wa katiba ya wananchi UKAWA naomba wewe mwana chadema,mwana ccm, mwana NCCR, mwana TLP,mwana CUF,mwana ACT,na vyama vingine vyote pamoja na usiye na chama, tarehe 25/10/2015 unipe kura yako nami ntatenda kama mlivyonituma.
Katika maisha yatupasa kufanya maamuzi magumu lakini ya Hekima, yatupasa kusimama imara na kupiga vita roho ya woga, yatupasa kuandika historia ya kukumbukwa milele,yatupasa kutimiza wajibu wetu.
Wazee wetu waliotupatia Uhuru 1961 walithubutu na leo tunakula matunda ya Uthubutu wao.
Ingia kwenye historia kwa kufanya MABADILIKO kwa kuchagua diwani,Mbunge na Rais kutoka UKAWA.
Kuwa Shujaa, tuunge mkono katika mabadiliko na utajiona mwenye amani maisha yako yote!
Dumisha Amani Epuka Uchochezi, vurugu,na vitendo vinavyoweza kuhatarisha usalama wa Mama Tanzania.
Kumbuka tulianza na Mungu na tutamaliza na Mungu.
KURA YAKO ndiyo FIMBO YAKO KWA WATAWALA WALIOSHUPAZA SHINGO.
Kura yako pekee haitoshi,zungumza na mwenzio atuunge mkono, natumai umoja wetu ndio ushindi wetu(Nikuombe pia uwatumie Ujumbe huu watanzania kumi (10) ili nao wawe sehemu ya historia ya Mabadiliko ya Nchi yetu!)
AHSANTENI SANA!
E.N Lowassa.
Oct.2015, Dar