Ombi la Dharula : CAF ichunguze haraka vyumba vya kubadilishia nguo kwenye uwanja wa Martyrs Kinshasa

Mkuu acha kuweka sababu hapo,kiukweli tumezidiwa kimpira na watu wa nje ya afrika mashariki,bado tuna safari ndefu mpaka kuwafikia,kumbuka hao ni AS Vita tu, huko kuna TP Mazembe kuna Al Ahli na wengine.ukileta imani za kiswahili jua kabisa hufiki mbali.Mpira ni mguuni na kila mmoja anauona unavyochezwa.wacha kuweka visingizio unachotakiwa na ww kujipanga tu.mpira wa cku hizi kila mmoja anajivunia kwao,nawe pigani ua ili mradi kwako hatoki mutu.mcheza kwao hutunzwa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nakumbuka uzi mmoja humu niliwahi kusema Wawa sio beki mzuri akikutana na mshambuliaji wenye kasi. Kuna jamaa alini ignore sana. Sasa jana yametimia hata penati amesababisha yeye.
 
HUYO NI "CHA LAWAMA" SIKU ZOTE KTK UBORA WAKE TENA AMESHAWAZIDI HADI WANA WA ISRAELI WALIPOMLALAMIKIA MUSSA JANGWANI TOKA KULE MISRI.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Endapo Simba itawafunga AS Vita taifa naweza nikaamini hoja yako

Sent using Jamii Forums mobile app
Ila pia Simba wachunguzwe ile mechi waliyoshinda 3 - 0 kabla ya wao kupigwa 5 - 0, maana huenda hizo ndizo tabia zake hasa kwa timu pinzani zinapokuja pale Uwanja wa Taifa.

Kwanini Simba FC ijishtukie tu bila kukubali matokeo kuwa walikamatika ktk kila idara uwanjani kimchezo jana?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Pole sana Mama kwa kichapo cha jana mpaka ulilala na viatu


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ili uwe shabiki mwenye msaada kwa timu yako lazima uone uovu na uzuri wa timu yako ila ukijidai kuona uzuri tu basi huo siyo ushabiki ni ujinga.

Simba tunatakiwa kuwa na wachezaji wa mpira siyo wachezea mpira.
 
Manara anawaharibu watu wa Simba, mi naungana na negativity attitude ya shafii dauda ikizingatiwa itaivusha simba kuliko positivity ya manara
Yule msemaji ni kilaza sijapata kuona. Anavyoichukulia Simba ni kama anaona ni timu kubwaaa kuliko hata hao washindani wake.

As Vita inajua mikikimikiki ya michuano ya CAF na imefanikiwa kwa kiasi kikubwa na iko mbali sana kuliko timu yetu ila ushabiki wa upofu unatudanganya kuwa tunaweza kwenda Kongo na tuje na matokeo...

Hata tukienda Algeria wale waarabu tuliodhalilisha hapo Taifa watashangaza wengi kule kwao. Hakuna timu pale.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…