Apollo one spaceship
JF-Expert Member
- Jan 28, 2021
- 242
- 431
- Thread starter
- #61
Aisee.Nililifikiria hilo mkuu,ila kwa jinsi dogo alivojisaidia mara mbili haja kubwa.Hiyo pampers sijui ingekuwaje tuMama yake sio mstaarabu alitakiwa amvalishe pempas
Na kuacha mtoto kwa watu tena unaachia wanaume sio vyema kabisa dunia imeharibika