Omba lisikukute la Tigo lililonisibu

Omba lisikukute la Tigo lililonisibu

KAMJUS

Member
Joined
Mar 16, 2012
Posts
83
Reaction score
16
Wanajamvi, usiku wa leo nilikuwa naoga mida ya saa4 unusu hiv usiku. maji yakapelea nikamwagiza mdogo wangu anongezee maji. Kama kawa alishazoea akitokka anapiga roky. Ebwana eh namaliza kukoga mlango unagoma.

Nikajipa moyo kwa vile nilikuwa na kisimu cha tochi kina line ya Tigo (maana ndani giza). Kupiga simu inapiga duh duh duh yaan haisemi ka namba ipo au vp. Mara nikazma na kuwasha hakuna kitu. Last altenativ ikabak kugonga mlngo mpka atakae sikia.

Yaan inimekaa kama nusu saa mpaka najuta kutumia tigo!!!! Nilikuwa nikisikia watu wakiilalamikia ila mie huwa sjali maana mi kwangu huw ni line ya nyongeza tu.

Hatari.
 
Mimi tigo ninatumia kama line kuu na sio ya nyongeza
 
teh teh haka kaneno haka ka tigo usipokuwa makini nako

usiku upo bafuni na maji yamekuishia....

halafu ukakumbuka kuwa una tigo, ikabidi upige...
 
wewe sio Mtanzania kabisa na huna uhusiano kabisa na taifa hili...Mtanzania hawezi kuwa na Kiswahili mbovumbovu namna hii tena ukishindwa hata kuumba maneno

#Zitto
 
Me iliwahi nikuta Mbeya hostel Fulani za masister kuna kazi tulikuwa tunafanya pale nikaenda chooni Mara Umeme ukakatika yarabi Giza totoro kumbe kile choo nilikuwa hakina hata dirisha na juu ni zege tupu kwani jengo Lima Ghorofa mbili nikapata hofu nikaanza kuishiwa Pumzi nikajipapasa simu sina nimeacha sehemu tunayofanyia kazi nikapapasa Mlangoni sehemu ya kitasa Nikakiona nikawa nashindwa kukizungusha sababu ya hofu nikajipa Moyo nitulie Dk moja hapo minesweat balaaa nikajimwagia maji ya chooni nikajaribu tena kukifungua kitasa kwa nguvu zote kikakubali. Tangu siku hyo natembea na simu yangu sehemu zote na siingii choo ambacho naona itakuwa shida kutoka endapo litatokea tatizo Chooni ni pa ajabu sana aiseeeee.
 
Back
Top Bottom