Asante kwa taarifa. Uhuni huu pia unatumika kusafirisha maawa ya kulevya. Usikubali mtu akuombe umshikie /umsaidie mzigo, mfuko etc, hasa mnapotaka kupita uhamiaji. kama kuna madawa ya kulevya anakusakizia wewe. Ukishikwa, anakuruka. Ukipita anachukua mzigo wake. Tuwe macho na ukarimu.