Okwi

mluga

JF-Expert Member
Joined
Oct 8, 2010
Posts
676
Reaction score
215
Hivi kweli ana kiwango kinachoandika kuwa Simba au Mnyama hashindi kwa sababu OKWI hayupo? Napenda kuwakumbusha ukiangalia pambano la mwisho la SIMBA vs Yanga ambao Yanga alilala 5 -0 kwa mu anayejua mpira ataona kulikuwa na hujuma za wazi penalti za kitoto, sasa huu umaarurfu mnampa kutoka wapi?

Okwi ni wa kawaida saana kama MGOSI tu, hebu tuache story za ngengeni watu wakisubiri kufturu jamani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…