Kwa kawaida nchi zilizoendelea hazikuwa na matabaka makubwa sana katika karne ya 21 na tunaona mabadiliko ya kisiasa na kiuchumi yanavyoshika kasi. Kwanza kwa chama chochote chenye kukaa madarakani kwa miaka mingi kama CCM na kuwatendea watu wake madhila makuu kama hivi sasa katika nchi nyingine ambazo watu wake wameelimika kisingekuwepo madarakani. Na kama watu hawajaeloimika hiyo tu ni sababu mojawapo ya uovu wa chama husika. Wanaoshabikia CCM ni wale ambao hawajui mbele wala nyuma juu ya demokrasia na maendeleo ya kiuchumi kwa ujumla. Kwa mfano mmoja aliniuliza chadema ikishika madaraka watagawa pesa. Nikamwambia watakachofanya ni kuondoa ugumu wa maisha ili pesa yako ndogo uliyo nayo inunue bidhaa kwa wingi huo ndo utatuzi wa ugumu wa maisha. Hilo wengi hawalijui. Na huo ndio mtaji wa vigogo wa CCM na watoto wao.Hivyo namalizia kwa kusema