Ofisi za WAMA zipo wapi?

and 998 others

JF-Expert Member
Joined
Jun 27, 2012
Posts
27,921
Reaction score
39,105
Wadau nina shida ofisi ya Wanawake na Maendeleo (WAMA) nataka kujua ofisi zao zilipo ili niende hapo. Natanguliza shukrani
 
Naendaa nyumaa ya Ikulu Karibuu Na ofisii ya mwannasheriaa Mkuu ndiooo zilikuwaa walinzii wapyaa wanawezaa.wakajua alikokimbiliaaa
 
Ziko kawe nafikir ukifika pale kituoni kuuliza utapata msaada zaidi,,,magogoni zimeshahama ndo wamehamia huko
 
Ndugu usitoneshe vidonda vya watu na machungu ya awamu iliyopita. By the way hicho chama kimewapa watu ulaji pamoja na vyeo sehemu kadhaa kadhaa. Tusubiri sasa chama mke wa Mfalme sijui chake kitaitwaje?
 
Teh teh teh! Kwani zenyewe azijatangaza kufilisika
 
Offgice ya wama ipo Ikulu inapaka ukuta na Ikulu kama unatokea hospital ya Ocean Road kama unaelekea Ikulu Utaiona Geti lake lipo kushoto
 
Tusaidiane jaman vikoba siku hizi fungu hawalion wadau....kwan ule mfumuko wa vikoba kila mtaa ulikuwa funded na nani?? Maana toka magu aingie wanawake wanalaumu hakuna mikopo
 
Jamani mwenye mawasiliano ya ofisi pendwa WAMA anijuze
 
Labda ije wama ya Janet Magufuli. Ya Salma itaishia kama ile ya mama Mkapa.
 
WAMA imesaidia sana watoto wa kike nchi hii. Pongezi mama.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…