masatujr1985
JF-Expert Member
- Oct 27, 2011
- 1,980
- 788
Salaam wandugu,
Naandika uzi huu kutoa dukuduku langu juu ya ofisi na watumishi wa masijala popote hapa nchini. Hizi ofisi zimekuwa na watu wasumbufu sana, wasiojali muda wa mtu na wanapenda kunyenyekewa!
Katika kuelekea Tanzania ya viwanda, natoa rai kwa watu wa hizi ofisi wabadilike sana saaaana.
Ni hayo tu.
J3 njema.
Naandika uzi huu kutoa dukuduku langu juu ya ofisi na watumishi wa masijala popote hapa nchini. Hizi ofisi zimekuwa na watu wasumbufu sana, wasiojali muda wa mtu na wanapenda kunyenyekewa!
Katika kuelekea Tanzania ya viwanda, natoa rai kwa watu wa hizi ofisi wabadilike sana saaaana.
Ni hayo tu.
J3 njema.
