Official Announcement: Job hunting? Tecno help you to stand out

Wolle Melkas Fernando

JF-Expert Member
May 4, 2016
218
297
Today I feel so excited cause i get a good news from TECNO phone company. They keep looking for a job position which for social media specialist which i already have one year experience on social media area!

And from my friends side, they tell me TECNO now growing very fast no matter Facebook or Instagram and Twitter, it's a good opportunity for someone who want get big chance in social part!

So I will share the link to all of you guys, but i hope i can get this opportunity!

More details, click: JOB HUNTING? TECNO HELP YOU TO STAND OUT
 
Siku nyingine Mjukuu wangu ni vyema ukatumia lugha unayoielewa ipasavyo. Itakuwa rahsi kwako wewe na wasomaji wengine pia
 
angekuwa mzungu kabahatisha kiswahili hapa tungemsifia ila kwakuwa mbongo ndo imekuwa nongwa, wabongo sisi bhana
Kumbuka huyo anaongea na sisi waswahili ikiwa na yeye pia ni mswahili kwa hiyo hakukuwepo na haja ya yeye kujidadavua na lugha ngeni ikiwa lugha yetu adhimu ipo na anaijua lkn km angelikua anazungumza na wazungu basi tusibgelimsimanga badala yake tungelimpongeza kwa kujitahidi kufikisha ujumbe
 
Kumbuka huyo anaongea na sisi waswahili ikiwa na yeye pia ni mswahili kwa hiyo hakukuwepo na haja ya yeye kujidadavua na lugha ngeni ikiwa lugha yetu adhimu ipo na anaijua lkn km angelikua anazungumza na wazungu basi tusibgelimsimanga badala yake tungelimpongeza kwa kujitahidi kufikisha ujumbe
humu ndani kuna watu hawana akili wanaojifanya wanajua kila kitu, huyo jamaa kama hayupo stable kisaikolojia anaweza asirudi tena
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom