Ofa ya 10mil kwa kiwanja

Ofa ya 10mil kwa kiwanja

bnhai

JF-Expert Member
Joined
Jul 12, 2009
Posts
2,846
Reaction score
2,401
Nina pesa hiyo tajwa nahitaji kiwanja Dar es Salaam. Aliyenacho aseme eneo na ukubwa kisha nitaamua
 
Mimi nnacho kipo Kibamba- luguruni jirani na kanisa la Lutheri usharika wa Luguruni. Ukubwa 45*30 kimepimwa na kina hati.
 
Kigamboni kimbiji kijaka square meters 1104 kimepimwa na hati juu 6M.
 
Njoo Zinga bagamoyo Km 8 kutokea tegeta kwa ndevu dakika 30 kutoka zinga hadi kwa ndevu kwa daladala pia dakika 20 kwa gari binafsi. Kiwanja square meters 1200 kwa Tsh 7M tuuu kipo barabarani (ya mtaa) na kipo umbali wa dk kumi kwa kutembea kwa miguu kutoka barabara kuu.
 
Njoo Zinga bagamoyo Km 8 kutokea tegeta kwa ndevu dakika 30 kutoka zinga hadi kwa ndevu kwa daladala pia dakika 20 kwa gari binafsi. Kiwanja square meters 1200 kwa Tsh 7M tuuu kipo barabarani (ya mtaa) na kipo umbali wa dk kumi kwa kutembea kwa miguu kutoka barabara kuu.
Zinga km 8??
 
ama kweli mambo yamebadilika ! sasa ukiwa na hela na fedha ndio unawaita wauzaji ! Miaka mitano nyuma hapo lazima upitie kwa dalali na upigwe!Ardhi imepanda thamani na imeshuka bei! 😀
 
Kigamboni kisalawe 2 sqm 900 kimepimwa hakina hati
 
Kingine nnacho kigamboni kipo dege njia ya kushoto kabla ya yale magorofa ya dege kina sqm 920 ndo nifanya upomaji ,hiki ni kizuri sana nnavyo vinne aina hiyo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom