JITU LA MIRABA MINNE
JF-Expert Member
- Mar 28, 2015
- 726
- 483
- Thread starter
- #21
muriet.....mlima moram...intel school ...hapo ndipo utajiri utaukuta
utajenga nyumba vyumba 6 self parking gari dogo na mabanda ya uaniHivyo viwanja mbona vidogo sana? 10*10 ndo square meter ngap maana sijui hata utajenga nini.
Mmmh si kweliunajenga self vyumba 6 na parking inabaki hata vibanda vya uani
nunua uone utaacha utomasoMmmh si kweli
Nani akanunue huko kwa wachunga mbuzinunua uone utaacha utomaso
Weka contacts zako unatoaje tangazo bila mawasiliano?
Mkuu kweli? Au na mi sielewi? Kwani 10*10 ni vipimo vya nini?
wasiwasi wenu tulabda anamaanisha ghorofa
25*25 nitapata kwa bei gani? Ni mitaa ya Muriet karibu na dampo? Kwa juu kidogo?wasiwasi wenu tu
tutafutane utafurahi na roho yako25*25 nitapata kwa bei gani? Ni mitaa ya Muriet karibu na dampo? Kwa juu kidogo?