Mpoki nini!Nipo Muleba, nataka hivyo vi external viwili, na kwa ka external ka kwanza you will only have to put movies na ka kapili series. Mind you I don't do Korean or Asian shit.
Hivyo viexternal utavituma kwa panga boi LA msukuma.
Do you take Western Union payment or Check.
Situmii malipo kwa visimu Mimi.
wahaya katika ubora waoNipo Muleba, nataka hivyo vi external viwili, na kwa ka external ka kwanza you will only have to put movies na ka kapili series. Mind you I don't do Korean or Asian shit.
Hivyo viexternal utavituma kwa panga boi LA msukuma.
Do you take Western Union payment or Check.
Situmii malipo kwa visimu Mimi.
Unapatikana wapi...?1TB - 160,000/=
2TB - 220,000/=
mi ninahitaji hizo content zako tu maana device ninayo tayari, vp naweza kupataNi mkusanyiko wa movies na series kali ikiwemo za Kikorea, za Kimarekani, Asia, Nigeria, Bongo nk
Ni mkusanyiko wa zaidi ya movies 500+
Naitoa hii ofa kwa wateja wangu wote wapya. Utauziwa external ya 1TB kwa bei ile ile ya tsh. 170,000/= tuu + Collection ya software ya aina yyt utakayohitaji, kmvle Microsoft Office, Win10, Adobe Master collection 2018 etc
View attachment 618321
Ushindwe wewe tuu!
Tunapatikana Keko Juu - DSM
Call/txt/WhatsApp: 0765961152
Naomba niandalie 2TB nakuja leo kuichukua...Kekojuu - DSM
Kaka asante Sana,,mzigo upo poa kabisa..hamna longolongo wala uswahili.Nadhani mzgo upo salama. Karbu tena boss
nikitaka series n movies peke ake napata?Shukrani. Karibu tena