There is something you can learn from that. First that telepromoter has two sides left and right. If right goes away, then you can use the left one and that goes away as well then you use the transcript. The president had all of them and that is why he continued as nothing has happened. It is always good to prepare for whatever you are going to address rather than going and start bring things that were not pre-planned. In the campaign meetings you can do that but not during addressing professional bodies. It is good to always pre-prepare.
Siyo unakwenda kuaddress watu unatumia masaa mawili kuongelea kitu kimoja. Pia kuongea bila kutumia karatasi haina uhusiano wowote na akili. Ukitaka kujua kama kiongozi ni kichwa ama siyo msikilize anavyoyajibu maswali ya wanahabari papo kwa hapo. Hivyo kujiandaa na kuandika utakachohutubia inaonyesha mtu anavyoheshimu watu na muda wao na pia ni nidhamu ya muda na mtiririko. Huhitaji kuandika halafu ukaanza kumemorise ukaseme ili uonekane una akili, hiyo itakuwa ulimbukeni.
Stop being myopic for those who said, b/se Obama is an African in originality, that is why he is using the tools, not at all. Here you want to potray that getting prepared to address the people and read it infront of the people is not being bright enough and you bring into an Africa contest that we are not bright. The fact is, it is you who is not bright as you are dishoring yourself. We, other Africans are bright. Try to see things positively!!!!!!!!!!!!!!!