Acha ujinga na matusi ya rejareja, nimekariri kivipi na wakati ni facts ambazo yes i can mention them anytime?
Ndiyo,Warren Buffet ni billionaire lakini anamsapoti Obama ikiwa ni pamoja na kuwapandishia matajiti tax.
Warren Buffet mwenyewe alishawahi kusema hakubaliani na issue ambapo secretary wake analipa kodi kubwa kuliko yeye mwenyewe.
Fuatailia siyo wewe umekariri na una chuki.