Obama likely to be re-elected in 2012 elections.



....Hivi hatuwezi kujadiliana bila kuitana majina ambayo hayastahili!? Heshima ni kitu cha bure Kaka.
 
Acha ujinga na matusi ya rejareja, nimekariri kivipi na wakati ni facts ambazo yes i can mention them anytime?

Ndiyo,Warren Buffet ni billionaire lakini anamsapoti Obama ikiwa ni pamoja na kuwapandishia matajiti tax.

Warren Buffet mwenyewe alishawahi kusema hakubaliani na issue ambapo secretary wake analipa kodi kubwa kuliko yeye mwenyewe.

Fuatailia siyo wewe umekariri na una chuki.
 

This is good news for Obama's re-election bid!

[h=1]US economy creates 200,000 jobs in December[/h]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…