Obama anakuja kusaini mikataba mingapi?

Obama anakuja kusaini mikataba mingapi?

Mtingaji

JF-Expert Member
Joined
Sep 28, 2012
Posts
1,223
Reaction score
367
Kwa wale wataalamu wa habari za uchunguzi, mtujuze mapema ili tujue kama tunauzwa tena USA. Je, ni mikataba mingapi na kwenye secta ipi anakuja kuweka? Hii si kawaida ndani ya mizi isiyozidi 6 maraisi wa mataifa makubwa wanapigana vikumbo kuja Tanzania kuweka mikataba.

Ziara ya Raisi mpya wa China nayo ilifanywa siri na serikali ya CCM wakaja kuitangaza dakika za mwisho, mpaka leo hatujui kwa hakika na kwa undani wa mikataba ile mingi iliyowekwa kwa ghafla. Tukajua tumeuzwa!

Sasa Obama na yeye huyo anatia timu hivi karibuni, je atakuja kutalii bure au tunauzwa tena? Wenye nyepesinyepesi mtujuze ili tuanze kudai chetu kabla hakija kimbizwa Uswis!
 
Anakuja kusisitiza
1. Utawala Bora
2. Haki za Binaadamu
3. Mapambano dhidi ya Maralia
4. Mapambano dhidi ya Ukimwi
5. Political stability in the East African Region.
6. Zikiambatana na msisitizo wa Nia ya Marekani kuendelea kuisadia Tanzania.

Mambo ya Mikataba ya Kibishara, wakina William & co will take care of, na kwa sababu ni wafanyabiashara, it will always happen in the best interests of the People of USA.

Approach ya Marekani kwenye Kuiexploit Africa haihusishi serikali yao moja kwa moja, na ni bora tungeendelea na hawa sababu tunaexperience ya ushenzi wote waliokwishatufanyia kuliko sasa tulipoanza kujiingiza kwenye madili na serikali ya China, it is going to take us additional 50 years to find out we are being used.

Thanks to Mtwara correction.
 
1. Terrorism
2. Somali Pirate
3. Deploy drones in DRC
4. Good governance
5. Human rights
6. Continue support to fight HIV/AIDS, TB & Malaria (GFHTM)
 
Anakuja kuchukua Risiti yake kwani maeneo yote yenye Uranium ameshauziwa na Mr Dhaifu
 
I believe it will be 23. Four more than China.
 
1. Terrorism
2. Somali Pirate
3. Deploy drones in DRC
4. Good governance
5. Human rights
6. Continue support to fight HIV/AIDS, TB & Malaria (GFHTM)
Hivi sasa tunazo drones?
 
Anakuja kusisitiza
1. Utawala Bora
2. Haki za Binaadamu
3. Mapambano dhidi ya Maralia
4. Mapambano dhidi ya Ukimwi
5. Political stability in the East African Region.
6. Zikiambatana na msisitizo wa Nia ya Marekani kuendelea kuisadia Tanzania.

Mambo ya Mikataba ya Kibishara, wakina William & co will take care of, na kwa sababu ni wafanyabiashara, it will always happen in the best interests of the People of USA.

Approach ya Marekani kwenye Kuiexploit Africa haihusishi serikali yao moja kwa moja, na ni bora tungeendelea na hawa sababu tunaexperience ya ushenzi wote waliokwishatufanyia kuliko sasa tulipoanza kujiingiza kwenye madili na serikali ya China, it is going to take us additional 50 years to find out we are being used.

Thanks to Mtwara correction.

Akimwambia bwana zaifu nipishe hapa magogoni nilale wewe nenda katafute gesti kwingine zaif ataondoka. Shem on you zaif tumekoma kukuchagua
 
Anakuja kusisitiza
1. Utawala Bora
2. Haki za Binaadamu
3. Mapambano dhidi ya Maralia
4. Mapambano dhidi ya Ukimwi
5. Political stability in the East African Region.
6. Zikiambatana na msisitizo wa Nia ya Marekani kuendelea kuisadia Tanzania.

Mambo ya Mikataba ya Kibishara, wakina William & co will take care of, na kwa sababu ni wafanyabiashara, it will always happen in the best interests of the People of USA.

Approach ya Marekani kwenye Kuiexploit Africa haihusishi serikali yao moja kwa moja, na ni bora tungeendelea na hawa sababu tunaexperience ya ushenzi wote waliokwishatufanyia kuliko sasa tulipoanza kujiingiza kwenye madili na serikali ya China, it is going to take us additional 50 years to find out we are being used.

Thanks to Mtwara correction.

>namba 2 hapo,anataka haki za kipuuzi za kameruni kama walizozikubali malawi.
 
Back
Top Bottom