Barbarosa
JF-Expert Member
- Apr 16, 2015
- 22,584
- 27,786
2 dead in Fla. club shooting; terror ruled out
Kila siku zinavyozidi kwenda ndivyo mambo yanavyozidi kuharibika huko USA na Ulaya, yale yaliyokuwa yanatabiriwa siku zote yamekaribia kutokea kwamba Raisi wa USA Obama atatangaza marshal law na kufuta Uchaguzi ili aendelee kutawala yote hii ni kumzuia Donald Trump ambaye mpaka sasa hivi anaongoza kwenye kura zote za maoni!
Wamarekani wameshachoka na maleftist ma anti christ akina Obama, Clinton&Co. na wanaitaka nchi yao hivyo wako tayari kumkabishi nchi Donald Trump, jambo ambalo ni nightmare kwa maelite ikumbukwe Trump ametangaza kubadilisha sera ya nje ya USA maana yake ni kwamba hakuna kutuma Majeshi ya USA nje mpka kuwe na sababu ya msingi ambapo maisha ya raia wa USA yako hatarini, ataiondoa USA NAFTA, ataindoa USA WTO, ataondoa michango ya USA NATO, amesema tarehe 20/01 akiapishwa tu anaifumua ISIS yote, hivyo maelite wanahaha...