Freedom tommorrow
JF-Expert Member
- Jan 31, 2015
- 1,795
- 1,132
Katika ile hali inayoonekana ni kikundi cha ISIS kupata nguvu na kuteka maeneo mengi ya Syria na Iraq, rais wa Marekani Barack Obama amemtaka katibu mkuu wa NATO kuangalia uwezekano wa kuingia katika vita hivyo.
Source: BBC
Source: BBC