HIBISCUS 80
JF-Expert Member
- Jun 18, 2020
- 1,058
- 1,228
Kwa kipi Sasanyumba zimejaa Dar zinauzwa Kama karangaWatakuzunguka waiuze wao ukiweka picha ya nje. Atakayeitaka atakuja pm
Tena bila madalali
Kwa kipi Sasanyumba zimejaa Dar zinauzwa Kama karangaWatakuzunguka waiuze wao ukiweka picha ya nje. Atakayeitaka atakuja pm
Watakuzunguka waiuze wao ukiweka picha ya nje. Atakayeitaka atakuja pm
Piga simu uulize hilo swali nitakujibu vizuriHiyo mitaa + Hizo Rangi = Jenga Uza,
Hivi ni kwanini mitaa hiyo wasingekua wanapaka tu rangi za kawaida? Yaani nini kinawafurahisha kwenye hizo Rangi wanazopakaga?
Nipigie simu nikupe hizo namba za huyo mtuNaomba nipate mawasiliano ya huyo aliyesimama getini nje, naamini huyo atakuwa anaifahamu vizuri hiyo nyumba!
Kama ni mkazi wa humo ndani itapendeza zaidi...huyo ndio naweza kufanya nae biashara!
Hutujui madalali vizuri.Kwa kipi Sasanyumba zimejaa Dar zinauzwa Kama karanga
Tena bila madalali