Nyumba zinapangishwa Mianzini ya juu Arusha

Nyumba zinapangishwa Mianzini ya juu Arusha

Ulongupanjala

JF-Expert Member
Joined
Apr 9, 2013
Posts
8,508
Reaction score
13,976
Habari zenu?

Kuna nyumba mbili za kisasa zinapangishwa.

NYUMBA YA KWANZA:
Ina sebule moja kubwa
Dining area
Jiko kubwa
Vyumba vitatu vya kulala vyote ni self contained rooms(master bedroom ni kubwa sana unaweza kufanya two rooms in one)
Vyumba vyote vina makabati ya ukutani chumbani na bafuni
Ina public toilet
Ina study room
Ina eneo kubwa la parking ya magari zaidi ya manne.
Ina garden
Ina umeme na maji (inajitegemea kila kitu)
Nyumba ni full tiles sakafu na paa lake
Nyumba ipo sehemu tulivu na ina geti lake
Nyumba ni mpya kabisa haijawahi kutumika.

MAHALI ILIPO:
Mita mia tisa toka Mianzini traffic lights
BEI NI 550$
MALIPO NI KUANZIA MIAZI MINNE.
MAWASILIANO: 0787140432 AU PM

NYUMBA YA PILI:
Ina vyumba vinne vya kulala,2 ni self contained rooms
Ina makabati ya nguo vyumba vyote
Ina sebule kubwa
Ina jiko
Ina dinning area
Ina public toliet/bathroom
Ina car parking (nyumba iliyojengewa yenye uwezo wa kulaza gari 2 kwa wakati) ila nje unaweza laza gari hata nne.
Ina garden
Nyumba nzima ni full tiles za sakafu na za paa,pia kuna gypsum
Ina umeme na maji yake yenyewe
Ina matanki ya kuchemshia maji ya moto bafuni.
Nyumba iko sehemu tulivu na ina geti lake
Nyumba imesha wahi kutumika ila ina hali nzuri sana. MIANZINI3.JPG MIANZINI4.JPG MIANZINI5.JPG MIANZINI6.JPG MIANZINI7.JPG

MAHALI ILIPO:
Mianzini,mita 800 toka Mianzini traffic lights
BEI:450$ KWA MWEZI,MALIPO NI KUANZIA MIEZI MINNE.
PM
 
Ifi kweli ni pange nyumba million moja au nipande hapo juu kiboroloni hapo fyaaapu nikajenge yakwangu
 
Nyumba zinaonekana safi! Lakini tamaa za bei zenu mutakaa msipate wapangaji wa maana hata siku moja! Nafikiri mnalenga wageni ndiyo maana hata bei ziko katka $! Ukisoma vizuri kwa soko la sasa ni vigumu kupata mgeni wa nje kwa zaidi ya robo mwaka! Sasa linganisha pesa utayoipata na kama ungempangisha nzawa kwa robo ya bei kwa mwaka! Wenye nyumba Arusha someni alama za nyakati.
 
Haya madalali ndio yanafanya nyumba ziwe juu. Mbafu kabisa.
 
Wewe unaona millioni nyingi unadhani hiyo nyumba imejengwa kwa msaada wa watu wa Marekani? Kama huna pesa piga kimya!

Ifi kweli ni pange nyumba million moja au nipande hapo juu kiboroloni hapo fyaaapu nikajenge yakwangu
 
Ni pm mimi nina nyumba sakina 200,000/- nzuri haijawahi ishi mtu
 
Nyumba moja kati ya hizo ilikuwa na wapangaji na wameondoka mwanzoni mwa April 2015,kama kwako ni nyingi waachie wenye PESA.Umeiona nyumba mpaka useme hailingani na hiyo PESA? Inawezekana hata banda la kuku hujawahi kujenga kwa pesa yako!! Kama unataka kulipiwa sema tu,watu watakulipia,sio maneno mengi yasio na maana.

Acha tamaa wewe kwa bei hiyo hailingani na hadhi ya Nyumba!!
 
Nyumba moja kati ya hizo ilikuwa na wapangaji na wameondoka mwanzoni mwa April 2015,kama kwako ni nyingi waachie wenye PESA.Umeiona nyumba mpaka useme hailingani na hiyo PESA? Inawezekana hata banda la kuku hujawahi kujenga kwa pesa yako!! Kama unataka kulipiwa sema tu,watu watakulipia,sio maneno mengi yasio na maana.

Mianzini? Porini? Nyumba milioni? Unawazimu wewe ungejenga masaki au upanga ingekuwaje?

Tatizo watu Wa Arusha mnajifanya wajanja Sana hiyo bei hata fisadi hatoi....
 
Narudia kusema kama huna hela pita kimya!

Mianzini? Porini? Nyumba milioni? Unawazimu wewe ungejenga masaki au upanga ingekuwaje?

Tatizo watu Wa Arusha mnajifanya wajanja Sana hiyo bei hata fisadi hatoi....
 
Narudia kusema kama huna hela pita kimya!

Ukiweka kwa currency hiyo ndo nyumba bora sana, unaongeza value ya nyumba au unawalenga wateja wanaotumia hiyo currency?

Mbona rahisi tu kubadili hz currency into local one shida ni nn au athari za ukoloni?
 
Nisaidie wewe kuweka!

Ukiweka kwa currency hiyo ndo nyumba bora sana, unaongeza value ya nyumba au unawalenga wateja wanaotumia hiyo currency?

Mbona rahisi tu kubadili hz currency into local one shida ni nn au athari za ukoloni?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom