Gazillionaire
JF-Expert Member
- Jun 15, 2013
- 235
- 59
Ziko Tungi na Kisota, Umbali wa kama KM 4 na 4.5 kutoka feri.
Nyumba ya kwanza ina vyumba 4 kimojawapo kikiwa ni Self contained, masterbedroom, Sebule, Dining, public toilet na jiko.
Ina tiles na Mapangaboi ndani, maji na umeme vipo na ina parking space ya magari 3 au 4.
Kodi yake ni laki 3 na inalipiwa mwaka mzima.
Ya pili ina vyumba 2 na sebule. Chumba kimojawapo ni self, iko fully tilled, ikiwa ndani ya fence na parking ya magari 2.
Kodi yake ni 200,000 kwa mwezi.
Mwenye kuhitaji karibu PM.
Nyumba ya kwanza ina vyumba 4 kimojawapo kikiwa ni Self contained, masterbedroom, Sebule, Dining, public toilet na jiko.
Ina tiles na Mapangaboi ndani, maji na umeme vipo na ina parking space ya magari 3 au 4.
Kodi yake ni laki 3 na inalipiwa mwaka mzima.
Ya pili ina vyumba 2 na sebule. Chumba kimojawapo ni self, iko fully tilled, ikiwa ndani ya fence na parking ya magari 2.
Kodi yake ni 200,000 kwa mwezi.
Mwenye kuhitaji karibu PM.