Nyumba ya kupangisha

Nyumba ya kupangisha

Tamalisa

JF-Expert Member
Joined
Feb 3, 2015
Posts
2,542
Reaction score
907
Habari zenu wana jamvi.

Nahitaji nyumba ya kupanga, yenye vyumba viwili na sebule (sebule ikiwa kubwa kiasi itapendeza zaidi) na jiko kama litakuwepo itafaa sana.

Maeneo ya Kijichi na iwe ktk eneo zuri sio la bondeni, mazingira mazuri.Kwayeyote atakaye kua karibu na maeneo hayo, au kusikia please tuwasiliane.

Asante.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom